Tiwa Savage ametoa Video ya wimbo wake mpya unaoitwa "Bad" Akiwa Amemshirikisha Wizkid, Video hiyo imetoka baada ya habari zilizosambaa takribani mwenzi mzima kuwa mwanadada huyo kutoka Nigeria amesainiwa na Amepeta mkataba na Lebo ya Jay Z , ROC Nation.
Tuesday, August 2, 2016
NEWS: Je lazima bi harusi alipwe kwa dhahabu ?
By Nemmy Kim.
Kampeni imezuka nchini Misri dhidi ya desturi ya kuwazawadia mabibi harusi dhahabu chungu nzima wakati wa harusi zao.
NEWS: Je,wayajua majukumu mengine ya wanariadha wa Kenya?
By Nemmy Kim.
Uwanjani wanariadha wa Kenya wamekuwa wakililetea taifa hilo medali, lakini unafahamu kuwa wanariadha hao hutumia mda wao mwingine kulihudumia taifa la Kenya?
NEWS: Miss World Kenya apokonywa taji lake.
By Nemmy Kim.
Aliyekuwa mshindi wa tuzo la Miss World Kenya 2016 , Roshanara Ebrahim, amepokonywa taji lake baada ya kukumbwa na sakata .
NEWS: Trump asema Hillary Clinton ni 'shetani'
by Nemmy Kim.
Mgombea wa chama cha Republican nchini marekani Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama cha Democratic Hillary Clinton kuwa 'shetani'.
Wednesday, July 20, 2016
News:T.SIGWA, NAMTAMANI JOH MAKIN NIKAE NAE KWENYE TRACK MOJA.
By Nemmy Kim.
Hayo yamesemwa na mwanamziki anayekuja kwa kasi T.Sigwa kuwa anatamani kufanya collabo na Joh Makin, Belle 9 kwa wasanii wanaoimba,
Hayo yamesemwa na mwanamziki anayekuja kwa kasi T.Sigwa kuwa anatamani kufanya collabo na Joh Makin, Belle 9 kwa wasanii wanaoimba,
Mfungwa mkongwe zaidi aachiwa huru
By Nemmy Kim.
Mwanamke mmoja raia wa Bangladesh ambaye anakisiwa kuwa ndiye mfungwa mkongwe zaidi ameachiwa huru.
Subscribe to:
Posts (Atom)