Friday, February 17, 2017
Thursday, February 16, 2017
Wednesday, February 15, 2017
Monday, February 13, 2017
NEWS; ADELE ATWAA TUZO YA ALBUM BORA YA MWAKA KATIKA GRAMMY NA KUI' DEDICATES KWA BEYONCE
By Nemmy Kim
Mwanamuziki Adele ajishindia Tuzo tano huku Beyonce akiondoka na Tuzo mbili katika Tuzo za Grammy msimu wa 59 zilizofanyika Los Angeles nchini Marekani siku ya jumapili.
Mwanamuziki Adele ajishindia Tuzo tano huku Beyonce akiondoka na Tuzo mbili katika Tuzo za Grammy msimu wa 59 zilizofanyika Los Angeles nchini Marekani siku ya jumapili.
Sunday, February 12, 2017
NEWS; CHANCE THE RAPPER ASHINDA TUZO ZA GRAMMY
By Nemmy Kim.
Rapa kutoka Chicago Chance The Rapa ashinda Tuzo za Grammy msimu wa 59 zilizofanyika Los Angeles nchini Marekani tarehe 12 February 2017,
Rapa kutoka Chicago Chance The Rapa ashinda Tuzo za Grammy msimu wa 59 zilizofanyika Los Angeles nchini Marekani tarehe 12 February 2017,
Sunday, January 15, 2017
NEWS; Mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na nusu ya watu duniani
By Nemmy Kim.
Utafiti uliofanywa na shirika la Oxfam la Uingereza unaonesha mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na mali ya watu 3.6 bilioni kwa pamoja.
Thursday, January 12, 2017
NEWS; BASATA wamesema Diamond amestahili kukabidhiwa bendera ya Taifa kwajili ya show yake ya ufunguzi wa AFCON 2017
By Nemmy Kim.
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameweka utata katika mitandao ya kijamii kuhusu ni nani anastahili kukabidhiwa bendera ya Taifa ili kuwakilisha nchi, baada ya Diamond Platnumz kukabidhiwa bendera ya Taifa.
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameweka utata katika mitandao ya kijamii kuhusu ni nani anastahili kukabidhiwa bendera ya Taifa ili kuwakilisha nchi, baada ya Diamond Platnumz kukabidhiwa bendera ya Taifa.
Subscribe to:
Posts (Atom)