Pages

Thursday, January 12, 2017

NEWS; BASATA wamesema Diamond amestahili kukabidhiwa bendera ya Taifa kwajili ya show yake ya ufunguzi wa AFCON 2017

By Nemmy Kim.

Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameweka utata katika mitandao ya kijamii kuhusu ni nani anastahili kukabidhiwa bendera ya Taifa ili kuwakilisha nchi, baada ya Diamond Platnumz  kukabidhiwa bendera ya Taifa.

NEW VIDEO: LILIAN INTANET_NISHAWAZIMA

By Nemmy Kim.

Mwanamuziki wa bongo Flavor  Lillian intanet  Ametoa video Yake mpya inayoitwa Nishawazima

Sunday, December 18, 2016

New Video; Dyso Gang_Stop it

By Nemmy Kim.

Itazame Video Mpya kutoka kwa Dyso Gang ni Msanii wa hip hop Anayetokea kanda ya kaskazini mwa Tanzania.

Saturday, December 17, 2016

NEWS; Mastaa wapamba uzinduzi wa video mpya ya Belle 9 ‘Give IT TO ME’

By Nemmy Kim.
Belle 9 Akizungumza na waandishi wa habari.
Mastaa wa muziki, filamu pamoja na viongozi wa serikali Jumamosi hii walipamba usiku wa uzinduzi wa video mpya ya Belle 9 ‘Give IT TO ME’.

Sunday, December 4, 2016

News; Iz Vato, Mwahip hop chipukizi pekee aliyefanya collabo na Geez Mabovu kabla ya kifo chake, Kwa sasa amekuja na wimbo mpya "Mbogo" kutoka Wanene Entertainment.

By Nemmy Kim.

Mwanahip hop Iz Vato ambaye ni Member wa kundi la Vatoloco Juniour Kutoka jijini Arusha,  Aliyewahi kufanya wimbo na Geez Mabovu unaoitwa "We are born solder"
Kwa sasa  Ametoa wimbo mpya unaoitwa "Mbogo"

Friday, December 2, 2016

NEWS; Trump amteua Jenarali James Mattis kuwa waziri wa ulinzi

By Nemmy Kim.

Rais Mteule wa Marekani Donald Trump amefanya mkutano wa kwanza wa hadhara tangu kushinda urais ambapo amemtangaza jenerali mstaafu James Mattis kama waziri mpya wa ulinzi.

NEWS; Y-Tony adai aliandika wimbo wake mpya akimuwaza Kajala, akiri kumpenda hadi anaumwa!

By Nemmy Kim.


Y-Tony amedai kuwa wakati anauandika wimbo wake mpya, Wivu Wangu, kichwani mwake alikuwa akimuwaza Kajala Masanja kwasababu ni mwanamke anayempenda sana.