Pages

Friday, June 17, 2016

Vanessa Mdee kuwania tuzo ya msanii bora wa kike wa Afrika katika tuzo za NEA Awards 2016

By Nemmy kim.

Mkali wa wimbo ‘Niroge’, Vanessa Mdee amechaguliwa kuwania tuzo ya msanii bora wa kike wa Afrika katika tuzo za NEA Awards 2016 za nchini Nigeria.

Ben pol Atoa vigezo vya Label itakayoweza msimamia kazi zake.

By Nemmy Kim.

Mkali wa wimbo ‘Moyo Mashine’ Ben Pol amesema kwa sasa yupo tayari kusaini kwenye label yeyote ambayo itakuwa na nia ya kumpeleka mbali zaidi kimuziki.

Maelfu wazimiwa simu zao Tanzania

By Nemmy Kim.



Maelfu ya Watanzania hawawezi kuwasiliana na rafiki zao, familia zao ama hata kupiga simu za kibiashara kupitia simu zao za mkononi.