Pages

Thursday, January 12, 2017

NEWS; BASATA wamesema Diamond amestahili kukabidhiwa bendera ya Taifa kwajili ya show yake ya ufunguzi wa AFCON 2017

By Nemmy Kim.

Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameweka utata katika mitandao ya kijamii kuhusu ni nani anastahili kukabidhiwa bendera ya Taifa ili kuwakilisha nchi, baada ya Diamond Platnumz  kukabidhiwa bendera ya Taifa.

NEW VIDEO: LILIAN INTANET_NISHAWAZIMA

By Nemmy Kim.

Mwanamuziki wa bongo Flavor  Lillian intanet  Ametoa video Yake mpya inayoitwa Nishawazima