Pages

Sunday, December 4, 2016

News; Iz Vato, Mwahip hop chipukizi pekee aliyefanya collabo na Geez Mabovu kabla ya kifo chake, Kwa sasa amekuja na wimbo mpya "Mbogo" kutoka Wanene Entertainment.

By Nemmy Kim.

Mwanahip hop Iz Vato ambaye ni Member wa kundi la Vatoloco Juniour Kutoka jijini Arusha,  Aliyewahi kufanya wimbo na Geez Mabovu unaoitwa "We are born solder"
Kwa sasa  Ametoa wimbo mpya unaoitwa "Mbogo"