Pages

Wednesday, March 29, 2017

New Music; Datty Datty_Kama mama

By Nemmy Kim.
Msanii chipukizi anayeitwa Datty Datty ,  Anaumri wa miaka 17  anaimba singeli,  na ni wimbo aliyouimba kwa  kuwa na mapenzi  kwa mama yake baada ya baba yake kutelekeza familia na kumuacha na mama yake. 

Msanii huyo chipukizi wa bongo flavor anayeitwa Datty Datty ametoa wimbo mpya aina ya singeli unaoitwa Kama Mama" .