Pages

Sunday, January 15, 2017

NEWS; Mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na nusu ya watu duniani

By Nemmy Kim.


Utafiti uliofanywa na shirika la Oxfam la Uingereza unaonesha mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na mali ya watu 3.6 bilioni kwa pamoja.